Kutibu vidonda vya tumbo

 #JINSI YA KUTIBU #VIDONDA VYA #TUMBO #KWAKUTUMIA #VYAKULA VYA #ASILI

Watu wengi hawajui kuwa vidonda vya tumbo husababishwa na mienendo mibaya ya maisha yetu na mfumo wa chakula cha kila siku.

#Dawa kama Omeprazole, Tagament, Cimetidine na nyingine nyingi za hospitali huwa zinapunguza maumivu kwa mgonjwa wa vidonda vya tumbo.

1⃣: Dawa hizi hupunguza asidi (tindikali) ambayo huharibu kuta za mfuko wa chakula.

2⃣: Zinazuia asidi tu, bila kushugulika na #chanzocha kuongezeka kwa hiyo tindikali.

3⃣: Kwa hiyo, bila kuondoa chanzo kinachosababisha kuongezeka kwa asidi hiyo, huwezi kupona.

4⃣: Kwa kawaida dawa za hospitali mara nyingi huja na maudhi mbalimbali kwa kuwa ni dawa ambazo zimetengenezwa kwa kemikali.

#VIDONDA VYA #TUMBO #NI #NINI?

Ni kuharibika kwa ukuta wa tumbo la chakula na sehemu ya Mwanzo ya utumbo mwembamba. Kuna aina kuu mbili za vidonda vya tumbo

1⃣. Gastric ulcers-hivi hutokea kwenye mfuko wa tumbo la chakula.

2⃣. Duodenal ulcers-hivi hutokea sehemu ya mwanzo ya utumbo mwembamba.

Chanzo cha vidonda vya tumbo ni kuongezeka kwa asidi kwenye tumbo la chakula.

#Dalili za vidonda
*Baadhi ya dalili za vidonda vya tumbo njaa kupita kiasi hasa usiku, tumbo kuwaka moto sehemu ya juu kwenye chembe, tumbo kujaa gesi, kuhisi kichefu chefu na kuharisha kutokana na kubagua vyakula.

#JINSI YA KUTIBU #VIDONDA VYA #TUMBO:-

Tunazo Supplements Ambazo zinatibu Chanzo

Ambazo ni Antibacteria #Antidirrheal & Probiotic & #Constrelax
Link👉062980

Comments

Popular posts from this blog

KOZI YA KOMPYUTA KWA KISWAHILI

Lies the poor parent tell children