NIKOTINI INAFANYAJE KAZI MWILINI MWAKO?

 NIKOTINI INAFANYAJE KAZI MWILINI MWAKO?



 Nikotini ni kemikali ya Naitrojeni ambayo hutengenezwa na mimea  mbalimbali ikiwemo tumbaku. Nicotiana tabacum , ni aina ya nikotini inayopatikana kwenye mimea ya tumbaku,  

Nikotini haisababishi kansa yenyewe pekeake isipo kua humfanya mtu kua mraibu “addicted” 

 Nikotini huamsha tezi za adrenali na kuzifanya kuzalisha homoni ya ‘adrenalini” 

 Hivyo kusababisha msisimko wa mwili  Glukozi juzalishwa kwa wingi, mapigo ya moyo huongezeka na kasi ya kupumua huongezeka  

Comments

Popular posts from this blog

KOZI YA KOMPYUTA KWA KISWAHILI

Lies the poor parent tell children