MALKIA WA MAHABA ❤️ SEHEMU YA: 02 πŸ”žπŸ”ž

MALKIA WA MAHABA ❤️
SEHEMU YA: 02
πŸ”žπŸ”ž
Malkia Yusta alikuwa uchi, hana nguo hata moja mwilini mwake, nilipoingia chumbani mwake nikainamisha kichwa chini, akiwa amenipa mgongo amesimama karibu na kitanda chake kizuri na kikubwa kilichopambwa na maua ya kila aina, chenye nakshi za dhahabu kwenye kingo zake, sambamba na mishumaa myekundu iliyokuwa ikiwaka kila kona ya chumba hicho na kuleta mwanga fulani wa kupendeza
Malkia huyo aligeuka na kuanza kunifuata taratibu niliposimama, nikishuhudia tangu matiti yake yaliyosimama kifuani mwake na uchi wake uliojificha chini ya uvungu wa mapaja yake
"Unaitwa nani?" Aliniuliza mwanamama huyo ambae kwa karaka haraka kwa kumtazama ni wa umri wa miaka arobaini mpaka arobaini na tano hivi
"Jason!" Nilimjibu huku akinizungukazunguka
"Una uzoefu sana katika vita?"
"Hapana sijawahi kupigana vita na hata kutumia upanga" nilimjibu akanishika begani akiwa nyuma yangu
"Acha kunidanganya Jason huwezi ukamshinda hivihivi mpambanaji kama yule jitu la miraba minne bila kuwa na uwezo katika vita, lakini sicho nilichokitia hapa!" Alininong'oneza
"Ulichoniitia ni kipi mtukufu malkia?" Nilimwuliza
"Nimekupenda sana!" Alininong'oneza sikioni akiwa bado amesimama nyuma yangu akapitisha mikono yake na kunipapasa papasa kifuani taratibu
"Asante!" Nilimjibu lakini hakuishia hapo akanivua taratibu kile kijitaulo nilichovaa cha sufi cha manyoya manyoya kikaanguka chini nami nikabaki mtupu kama yeye akarudi kwa mbele yangu akitembea na kukaa kitandani kwake kisha akanitazama
Nikamfuata kwa mwendo wa taratibu huku dudu langu likining'inia na kunesa nesa mpaka pale kitandani nikasimama pembeni yake akiwa amekaa kitako
"Waaaoh nimeipenda sana hii!" Malkia huyo mtu mzima lakini mkware (mpenda ngono) alilisifia dudu langu akalishika na kuanza kulipapasa papasa taratibu nikiwa nimesimama namuangalia
Hakuishia hapo alisogeza kinywa chake na kuanza kulinyonya dudu langu kwa midomo yake, likiwa limedinda na limenyooka mithili ya nguzo ya umeme nami taratibu nikaanza kumpapasa papasa mwilini mwake, akanilaza chali kitandani akiendelea kuninyonya dudu langu nami nikimpapasa papasa matiti yake kifuani
Haraka nikampindua yeye na kumweka chini akalala chali nikampanua mapaja yake na kupitisha kichwa changu katikati nikaanza kumnyonya uchi wake na kuupitisha ulimi wangu taratibu kwenye vinyinyama laini vya uchi wake
"Oooh aaaaaahhh!" Mwanamama huyu aliguna guna nilipoichezesha ncha ya ulimi wangu kwa kasi kwenye uchi wake huku mikono yangu nikikamata matiti yake kifuani nikiyatomasa tomasa, dakika takribani kumi zilikatika tukichezeana nikimtekenya na kumpa malkia Yusta mshawasho kwenye kila kona ya mwili wake ingawa sikuwa na saa ya kutazama
Mwishowe nililala kifuani mwake, vifua vyetu vikigusana kiuno changu kikipita katikati ya mapaja yake aliyoyapanua mguu mmoja mashariki mwingine magharibi, nikaliingiza dudu langu taratibu kwenye uchi wa mwanamama huyo na kuanza kulisukuma huku tukinyonyana mate vinywani na ndimi zetu zikitekenyana
Sikuruhusu anizoee zoee nilikibinua na kukirudisha vyema kiuno changu, nikimbananisha mwanamama huyu asipate nafasi ya kufurukuta wakati nikilisukuma dudu langu nikiusugua uchi wake huku ulimi wangu ukishuka mpaka kifuani na kuyanyonya matiti yake, ncha ya ulimi wangu ikizunguka zunguka kwenye chuchu zake akabaki akipiga mayowe tu, mikono yangu ikiendelea kutalii kila kona ya mwili wake mpaka kwenye matako yake katikati nikaingiza kidole changu cha kati kwenye mkun... wake
Lisaa lizima lilikatika, mambo yakiwa yamepamba moto, malkia Yusta sasa alikuwa ameshikilia nguzo moja ya kitanda amebinua matako yake kwa juu na kiuno chake, matako yakiwa yamepanuka, nami nikiwa kwa nami nimeshikilia nguzo hiyo hiyo ya kitanda, nikimshindilia dudu, wazungu wanaita 'doggystyle' kijasho chembamba kikitutoka
"Woooooohhhh!" Mwanamama huyu alipiga mayowe akishusha pumzi ndefu kuashiria amefika mwisho wa safari nami nikamwaga wazungu ndani ya uchi wake likiwa ni bao langu la pili yeye yake yakiwa hayahesabiki, tukaangukia kitandani tukihema kama tumekimbia mbio ndefu
"Naweza kwenda?" Nilimwuliza
"Lala mpaka asubuhi!" Aliniambia akihema hema
"Wenzangu watakuwa na wasiwasi!" Nilimwambia akaniruhusu akinitaka nirudi asubuhi ndani ya kasri, nikashuka kitandani na kuvaa kijitaulo changu taratibu na kutoka ndani ya chumba chake nikimwacha taabani kitandani hajiwezi, mtumishi yule yule mwanamke aliyenileta akanipokea na kunikabidhi kwa askari wale wawili waliokuwa wananisubiri kwenye lango kuu, taratibu wakawa nyuma yangu wakinisindikiza kurudi mahabusu huku mimi nikiwa nimetangulia mbele
Tukiwa tunakatiza kwenye korido kubwa ya kuelekea kwenye nyumba ya mahabusu chini ya ulinzi mkali, ghafla yule njemba wa miraba minne akasimama mbele yangu nikashtuka, maaskari waliokuwa nyuma yao wakainua mapanga yao wakimnyooshea asinifanye chochote
"Tulieni, nikitaka kumuangamiza huyu kijana mdogo namminya tu kwa kidole changu gumba hamuwezi kunizuia hata ninyi ni kama sisimizi tu!" Aliwajibu askari hao waliokuwa wakimwogopa
"Unataka nini tena kwangu?" Nilimwuliza
"Nataka roho yako, lakini kwanza mpaka nifute aibu uliyonitia leo, kesho tutapambana, niifute aibu uliyonitia leo na kukuua kabisa maana ulibahatisha vibaya bwana mdogo, usisahau kesho palepale!" Alininong'oneza sikioni kwa sauti yake nzito kisha akanisukuma kwa mkono wake nikaanguka chini mzima mzima.....
#Comment na #Like yako ndiyo tiketi ya kuendelea kwa Tamthilia hii mpaka mwisho!

Comments

Popular posts from this blog

KOZI YA KOMPYUTA KWA KISWAHILI

Lies the poor parent tell children