Posts

Showing posts from July, 2020

READ BOOK: MINDSET

Image
click here

SUPU YA PWEZA SEHEMU YA O1

SUPU YA PWEZA SEHEMU YA O1 Harson Dickson Harson Arusha TZ +255759148660 Mama Sabinamu, hujambo mke wangu? Sijambo mume wangu. Vipi kazi? lKazi njema. Upo nyumbani? Ndiyo mume wangu. Eee, nenda kwenye kalenda ya ukutani, funua nyuma kabisa, kuna namba za simu nimeziandika, nitumie sasa hivi. Sawa mume wangu, alijibu mama Sabinamu huku akikata simu. *** Kwa hiyo ndugu zanguni, kama nilivyokwishase ma, subirini ije hiyo namba tumpigie Ngoswe, atakachosema ndiyo tutakuwa tumepata majibu, baba Sabinamu aliwaambia wageni wake. *** Mama Sabinamu alimwamuru dereva wa Bajaj aendeshe kwenda mbele baada ya kumsimamisha pembeni ya barabara ili aongee na simu na mume wake. Aliiseti simu vizuri, akaipiga... Jema, umeshatoka kwenye maji? Ndiyo mama. Haya, nenda sebuleni, fungua kalenda, nyuma kuna namba za simu, nitumie sasa hivi, mama Sabinamu alimwambia msichana wake wa kazi. Sawa mama. **** Msichana wa kazi alikwenda kwenye kalenda hiyo na kufunua nyuma ambapo alikutana na namba kibao... Khaa!

SUPU YA PWEZA SEHEMU YA 03

SUPU YA PWEZA SEHEMU YA 03 Harson Dickson +255759148660 Arusha TZ Mama Sabinamu hakuwa na jinsi, aliingia bafuni kuoga ili aondoke zake. Akina Miriam siku hiyo walimshangaa sana mdogo wao Masoud. Alikuwa akihangaika sana, mara chumbani, mara jikoni, mara nje. We leo una nini kwani? RUKA NAYO... Niko sawa dada Miriam. Mbona huku na kule, utadhani hujatuona? Hamna bwana dada, alisema Masoud lakini uso wake ulionesha wasiwasi mkubwa. Masoud alikaa kwenye kochi sambamba na dada zake, lakini kabla hawajasalimiana  sana, simu yake iliita, alikuwa mama Sabinamu. Sorry, nakuja. Alikwenda chumbani kukutana na mwanamke huyo... Nikwambie kitu Masoud? Niambie baby. Siwezi kusubiri mpaka huo muda wa kuondoka hao dada zako ndipo na mimi niondoke, kama vipi wasababishie waende kokote ili nipite, kama haiatawezekana basi nipite zangu mbele yao. Masoud alihema sana. Hakuna kitu asichopenda dada yake Miriam kama yeye kujihusisha na uhusiano wa mapenzi mapema, alitaka asome kwanza. Nyumba anayoishi Ma

VITA BARIDI bado inaendelea?

VITA BARIDI bado inaendelea? Vita Baridi ulikuwa ni ugomvi au mzozo wa kisiasa uliofuatia vita kuu vya pili vya dunia. Ulizihusisha kanda ya mashariki (Urusi na washirika wake Kisovieti) dhidi ya kanda ya Magharibi (Marekani na washirika wake wa NATO). Wanahistoria wanakitaja kipindi cha vita baridi kuwa ni kuanzia mwaka 1947 hadi 1991, mwaka ambao Jamhuri ya Kisovieti ilipovunjika. Kwa nini iliitwa Vita Baridi? Pande zote mbili ziliunda majeshi makubwa na kuwa na silaha nyingi, lakini hazikuanzisha vita moja kwa moja, ila zilijaribu kutishana na kupeana matatizo kwa njia nyingi. Kipindi hiki kilikuwa na maandalizi ya vita lakini vita vya kijeshi havikuanza. Sababu muhimu ya kutoingia katika mapigano ya wazi ilikuwa akiba kubwa ya silaha za nyuklia kila upande na wote walijua ya kwamba vita vingeleta uharibifu mkubwa kabisa kwa nchi zote zilizoshiriki, hata kwa dunia yote. Chanzo ni nini? Vita baridi vilianza baada ya vita kuu ya pili ya dunia. Marekani, Uingereza na Ufara

CHUZI LA PWEZA SEHEMU YA 6

CHUZI LA PWEZA SEHEMU YA 6 MTUNZI : KIZARO MWAKOBA WatsApp : +255765388806 ISTARGAM: Kizaromwakoba ILIPOISHIA “Afadhali leo unifumbue dadaangu” nikazungumza kwa hamasa kubwa ya kufahamu sababu za wanaume wengi kuwa wabovu katika suala la kuhudumia ndoa zao. ENDELEA…. “Mijitu imezama kwenye pombe utafikiri komba, unadhani atajiweza huyo? Wengine muda wote wanajichua utafikiri mafundi seremala anapiga msasa, mtu huyo atawezaje kuwa ngangari” Sharifa alizungumza kwa msisitizo. “Mnh kumbe hizo ndizo sababu?” Nikahoji. “Sio hizo tu, utakuta mamtu muda wote yanatoa moshi utafikiri matreni kwa kuvuta sigara, wengine wanakesha kuperuzi mapicha ya ngono, unafikiri mamtu ya hivyo yanapaswa kuonewa huruma?” alizungumza Sharifa na kunifumbua baadhi ya mambo ambayo nilikuwa siyafahamu. “Kumbe mfumo wa maisha unaweza kuharibu kila kitu?” Nikazungumza kwa mshangao. “Sababu zipo lukuki, hizo ni chache tu” Alisema Sharifa na kunifanya nimkumbuke tena mume wangu jinsi alivyokuwa mchovu na mvivu katik

πŸ‘„CHUZI LA PWEZAπŸ‘„ SEHEMU YA 23

πŸ‘„ CHUZI LA PWEZA πŸ‘„ SEHEMU YA 23 MTUNZI : Kizaro Mwakoba WatsApp : +255765388806 ISNTARGAM: Kizaromwakoba ILIPOISHIA “Petrol hii hapa tumchome moto tumalize kazi jamani” Nikasikia sauti za vijana wakizungumza huku wakisogea karibu na alipokuwa amelala Mtaturu wangu. Jamani nyie kuna binadamu wana roho za kikatili, Duuh! Unaweza usiamini kabisa lakini ndivyo ilivyokuwa. ENDELEA….23 “Jamani ngojeni kwanza, huyu mtu sio mwizi!” baadhi ya watu walisikika wakizungumza. “Sio mwizi jamani hebu mtazameni vizuri” wengine nao wakadakia. “Inawezekana sio mwizi” wakaongezeka zaidi na zaidi. “Mwongo piga huyo ni mwizi tu!’ watu walijibishana baada ya kusikia sauti ya mume wangu akijaribu kujitetea. “Jamani huyo ni mume wangu msimuue!” masikini ya Mungu nilipaza zaidi kasauti kangu ambako kiliingia vyema kwenye masikio ya baadhi ya wananchi. “Hebu ngojeni kwanza jamani!” maneno ya watu waliokuwa wakisisitiza kusitishwa kwa zoezi lile yaliongezeka na kuwafanya wapunguze kichapo kile. Walipommulik

MALKIA WA MAHABA ❤️ SEHEMU YA: 02 πŸ”žπŸ”ž

MALKIA WA MAHABA  ❤️ SEHEMU YA: 02 πŸ”ž πŸ”ž Malkia Yusta alikuwa uchi, hana nguo hata moja mwilini mwake, nilipoingia chumbani mwake nikainamisha kichwa chini, akiwa amenipa mgongo amesimama karibu na kitanda chake kizuri na kikubwa kilichopambwa na maua ya kila aina, chenye nakshi za dhahabu kwenye kingo zake, sambamba na mishumaa myekundu iliyokuwa ikiwaka kila kona ya chumba hicho na kuleta mwanga fulani wa kupendeza Malkia huyo aligeuka na kuanza kunifuata taratibu niliposimama, nikishuhudia tangu matiti yake yaliyosimama kifuani mwake na uchi wake uliojificha chini ya uvungu wa mapaja yake "Unaitwa nani?" Aliniuliza mwanamama huyo ambae kwa karaka haraka kwa kumtazama ni wa umri wa miaka arobaini mpaka arobaini na tano hivi "Jason!" Nilimjibu huku akinizungukazun guka "Una uzoefu sana katika vita?" "Hapana sijawahi kupigana vita na hata kutumia upanga" nilimjibu akanishika begani akiwa nyuma yangu "Acha kunidanganya Jason huwe

PURPOSE AND POWER OF MEN BOK DOWNLOAD

Image
click here

MAMA AMINAAAAAAA

MAMA AMINAAAAAAA SEHEMU YA 01 Mama Amina ni mwanamke mjasiriamali katika mitaa ya buza jijini Dar. Yeye kila siku usiku uwauzia watu supu na chapati. Ni biashara aliyoianza mara baada ya kuachwa na aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni baba Amina. Alijitahidi sana kutafuta pesa kwaajili yake na mwanae, Amina. Pesa ya chakula, Ada, Kodi ya nyumba na mengineyo lakini kadri siku zilivyosonga mbele ndivyo ugumu wa maisha ulizidi. Kutokana na ugumu wa fedha, kila wiki Amina alirudishwa akidaiwa ada. Kwa kipindi hicho alikuwa mwanafunzi wa kidato cha pili katika shule binafsi. Matatizo ya ada yalizidi, Amina alifukuzwa shule, na moja kwa moja akaachana na shule. Baada ya Amina kufukuzwa shule, akaungana na Mama yake katika shughuli za uuzaji supu na chapati. Mama na mwanae; kila siku jioni walielekea kijiwe maarufu cha boda boda, wanywa kahawa, madereva bajaji n.k, huko ndiko walikesha hadi usiku wa manane wakisaka pesa. Muda wao wa kurudi utegemea kuisha kwa supu. Siku supu ikiisha ma

MALKIA WA MAHABA ❤️ SEHEMU YA: 01

MALKIA WA MAHABA  ❤️ SEHEMU YA: 01 πŸ”ž πŸ”ž  Chombezo* kali ya kifalme, iliyojaa mahaba, mapigano, visa na mikasa.... ••••••••••••• Farasi mweupe aliingia ndani ya kasri la kifalme taratibu juu yake akiwa ameketi malkia Yusta mwanamama mrembo sana akiwa na taji ya dhahabu kichwani mwake sambamba na gauni refu la rangi ya zambarau la kimalkia lenye kila aina ya urembo, akiwa na mapambo ya thamani kubwa mwilini mwake, kuanzia hereni masikioni mwake, mikufu shingoni mwake na bangili na kila aina ya kito alichovaa mwilini kilikuwa ni dhahabu tupu akiwa na msafara mkubwa wa walinzi wake waliokuwa juu ya farasi wao na silaha, takribani hamsini, kisha akashuka juu ya farasi huyo akipokelewa na askari waliojipanga mithili ya wachezao gwaride la kijeshi "Uishi milele mtukufu malkia" Jenerali alimsalimia akiinamisha kichwa chake "Kuna jipya gani tangu niondoke siku mbili hizi?" Malkia Yusta alimwuliza jenerali huyo aitwae Rabo "Kuna vijana tumewakamata tunahisi

PATA NOTES ZOTE ZA KIDATO CHA SITA KUPITIA KIPAJI APP

Image
Pakua application ya kipaji app toka play store Au bofya hapa  kupata notes hizo Zaid ya hayo. Application hii itakupa Kila unachoitaji kitaaluma na hata katika nyanja ya habari na burudani