OKSIJENI NI BLOG. INAYOKUPATIA MAARIFA KATIKA NYANJA NYINGI KAMA VILE SAYANSI, ELIMU,TIBA,UJASILIAMALI NA KOMPYUTA. KWETU MAARIFA NI UHAI . ILI KUPATA HUDUMA NA MSAADA WA KITEKNOLOJIA. TUPIGIE SIMU AU TUTAFUTE WHATSSAP KWA NAMBA 0629811027
NAMNA AMBAVYO MTU ANAPATA UGONJWA WA NGIRI (HERNIA) TATIZO LA NGIRI (HERNIA) Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo. Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni). Tatizo la ngiri huweza kumpata mtu yeyote. Miongoni mwa vitu vinavyoweza kumsababisha mtu apate ugonjwa wa ngiri ni: Kuwa na uzito mkubwa wa mwili au kuongezeka uzito kwa ghafla, kazi ya kubeba au kunyanyua vitu vizito, tatizo la kukohoa au kupiga chafya kwa muda mrefu, ujauzito au matatizo yanayojitokeza kwa mwanamke wakati wa kujifungua pia kuharisha au kuvimbiwa (Constipation). Vitu hivyo pamoja na ...
WordPress Blogger Wix WordPress Lorem ipsum dolor sit amet consectetur adipisicing elit. Quos nobis illo iste reiciendis, quam cupiditate, ipsum harum dolore eveniet nemo consequuntur? Hic magni voluptatum doloribus error dolorum labore, possimus soluta. Lorem ipsum dolor, sit amet consectetur adipisicing elit. Commodi, ratione! Lorem ipsum dolor sit, amet consectetur adipisicing elit. Quis repellendus vero praesentium, quisquam corporis quos eius omnis unde quibusdam voluptatem. Learn More Blogger Lorem ipsum dolor sit amet consectetur adipisicing elit. Quos nobis illo iste reiciendis, quam cupiditate, ipsum harum dolore eveniet nemo consequuntur? Hic magni...
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA U.T.I UTi ni ugonjwa ambao unasumbua watu wengi; watoto, vijana na watu wazima. UTI ni kifupisho cha Urinary Tract Infection. Huu ni ugonjwa ambao hushambulia figo (kidneys); ureters; ambayo ni mirija inayounganisha figo na kibofu cha mkojo, kibofu cha mkojo (bladder) na urethra; sehemu inayotoa mkojo toka kwenye kibofu cha mkojo hadi nje ya mwili. Kwa kifupu ugonjwa wa UTI hushambulia viungo vinavyohusika katika kupitisha mkojo kabla haujatoka nje ya mwili. Hebu tuvitazame viungo hivi kabla ya kueleza chanzo cha ugonjwa na tiba ya UTI baadaye hapa chini. Kuelewa vizuri tunachokizungum zia hapa tazama picha ya viungo hivi na kwa kifupi hapa tutatoa maelezo ya picha hiyo. Figo ni viungo viwili vilivyopo kimoja kila upande wa uti wa mgongo eneo la kiunoni. Figo hufanya shughuli nyingi katika mwili wa binadamu ikiwepo ya kutoa uchafu na maji ya ziada katika damu, na huvitoa vitu hivi kama mkojo. Kwa sababu hii, figo ni muhimu sana katika kuweka msukumo wa da...
Comments
Post a Comment