OKSIJENI NI BLOG. INAYOKUPATIA MAARIFA KATIKA NYANJA NYINGI KAMA VILE SAYANSI, ELIMU,TIBA,UJASILIAMALI NA KOMPYUTA. KWETU MAARIFA NI UHAI . ILI KUPATA HUDUMA NA MSAADA WA KITEKNOLOJIA. TUPIGIE SIMU AU TUTAFUTE WHATSSAP KWA NAMBA 0629811027
NAMNA AMBAVYO MTU ANAPATA UGONJWA WA NGIRI (HERNIA) TATIZO LA NGIRI (HERNIA) Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo. Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni). Tatizo la ngiri huweza kumpata mtu yeyote. Miongoni mwa vitu vinavyoweza kumsababisha mtu apate ugonjwa wa ngiri ni: Kuwa na uzito mkubwa wa mwili au kuongezeka uzito kwa ghafla, kazi ya kubeba au kunyanyua vitu vizito, tatizo la kukohoa au kupiga chafya kwa muda mrefu, ujauzito au matatizo yanayojitokeza kwa mwanamke wakati wa kujifungua pia kuharisha au kuvimbiwa (Constipation). Vitu hivyo pamoja na ...
FAHAMU.3. MAGONJWA MAKUU YA NYANYA,DALILI NA TIBA ZAKE Magonjwa makuu ya nyanya ni kama yafuatayo: 1. Mnyauko Fusari (Fusarium wilt) Kisababishi Ugonjwa huu husababishwa na kuvu (Fungi) huenezwa na mbegu au udongo wenye vimelea vya ugonjwa. Ugonjwa hutokea zaidi wakati wa kiangazi na hasara inaweza kufikia hadi asilimia 40 kama haukudhibitiwa. Dalili zake Mmea kunyauka ghafla wakati wa mchana na kurudia hali ya kawaida asubuhi. Baada ya siku chache mmea hufa. Shina la mmea likipasuliwa kwa urefu sehemu ya ndani huonyesha rangi ya kahawia. Tiba yake Ugonjwa huu hauna tiba maalum. Inashauriwa kutumia mbegu ambazo hazina ugonjwa, Panda nyanya kwa kutumia mzunguko wa mazao, dumisha usafi wa shamba kwa kuteketeza mabaki baada ya kuvuna, Mwagilia shamba mara kwa mara. Rutubisha vyema mimea na ondoa mar a moja mimea iliyoathirika. 2. Bakajani chelewa (Late Blight) Kisababishi Ugonjwa huu husababishwa na kuvu na huenezwa na upepo. Hasara inaweza kufikia asilimia mia moja kama unyevunyevu ...
CBA VETA PAST PAPERS FOR OTHER INTERNAL PAST PAPERS AND QUESTIONS PLEASE CLICK HERE for LEVEL ONE Computer CBA past papers. Engineering science CBA past papers Technical drawing CBA past papers Hotel, food and secretarial CBA past papers Mathematics CBA past papers MVM and AUTO ELECTRICAL CBA past papers Enterpreneurship CBA past papers LIFE Skill CBA past papers . Electrical CBA past papers Carpentry and Joinery CBA past papers English CBA past papers Mansory and Bricklay (MB) past papers Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook Share to Pinterest
Comments
Post a Comment