OKSIJENI NI BLOG. INAYOKUPATIA MAARIFA KATIKA NYANJA NYINGI KAMA VILE SAYANSI, ELIMU,TIBA,UJASILIAMALI NA KOMPYUTA. KWETU MAARIFA NI UHAI . ILI KUPATA HUDUMA NA MSAADA WA KITEKNOLOJIA. TUPIGIE SIMU AU TUTAFUTE WHATSSAP KWA NAMBA 0629811027
NAMNA AMBAVYO MTU ANAPATA UGONJWA WA NGIRI (HERNIA) TATIZO LA NGIRI (HERNIA) Ngiri au Hernia ni aina ya ugonjwa ambao unampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshikiria au kubeba viungo (organs) fulani mwilini kupoteza uimara wake au kuwa na uwazi (Opening) na hivyo kusababisha viungo hivyo kutoshikiriwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo. Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni, katika eneo la kinena, eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji (operesheni). Tatizo la ngiri huweza kumpata mtu yeyote. Miongoni mwa vitu vinavyoweza kumsababisha mtu apate ugonjwa wa ngiri ni: Kuwa na uzito mkubwa wa mwili au kuongezeka uzito kwa ghafla, kazi ya kubeba au kunyanyua vitu vizito, tatizo la kukohoa au kupiga chafya kwa muda mrefu, ujauzito au matatizo yanayojitokeza kwa mwanamke wakati wa kujifungua pia kuharisha au kuvimbiwa (Constipation). Vitu hivyo pamoja na ...
CBA VETA PAST PAPERS FOR OTHER INTERNAL PAST PAPERS AND QUESTIONS PLEASE CLICK HERE for LEVEL ONE Computer CBA past papers. Engineering science CBA past papers Technical drawing CBA past papers Hotel, food and secretarial CBA past papers Mathematics CBA past papers MVM and AUTO ELECTRICAL CBA past papers Enterpreneurship CBA past papers LIFE Skill CBA past papers . Electrical CBA past papers Carpentry and Joinery CBA past papers English CBA past papers Mansory and Bricklay (MB) past papers Email This BlogThis! Share to Twitter Share to Facebook Share to Pinterest
UKWELI KIHUSU SAMAKI NGUVA .(Samaki mtu). Watu wengi hawajui uhalisi wa mnyama huo kwani baadhi ya watu wamekuwa wakisema ni upande mmoja samaki na mwingine mwanamke. Makumbusho ya taifa ambayo ndiyo ina dhamana ya kuhifadhi mambo ya kale imeweka wazi ukweli kuhusu nguva na maisha yake . Mkurugenzi wa Makumbusho hayo , Bw . Paul Msemwa , anasema mnyama huyo mambo mengi ambayo yamekuwa yakizungumzwa kuhusu mnyama huyo si ya kweli . Anasema nguva ni mnyama anayezaa na kunyonyesha kama walivyo wanyama wengine. Anasema wakati akinyonyesha husimama na kukumbatia mtoto wake hali inayoweza kumfanya mtu aliyemuona kudhani kuwa ni mtu. Anaeleza kuwa watu wengi hawajui ukweli kuhusu nguva na baadhi wamekuwa wakisema kuwa ni nusu mtu. `` Kuna watu wanapotosha wanasema nguva ni nusu mtu kwa maana kuwa chini ni samaki na juu ni mtu lakini si kweli ,`` anasema . Anasema muda mrefu mnyama huyo hukaa baharini na kwamba anapenda mazingira mazuri na tulivu. Dk . Msemwa anasema mnyama huyo huzaa kila baa...
Comments
Post a Comment