Posts

Showing posts from 2020

BIOLOGY PRACTICALS O LEVEL

NOTES ZA BIOLOGY FORM ONE

Image
Soma zote hapa

WINDOWS 10 ACTIVATOR

Image
 password :  getkmspico.com >>>DOWNLOAD<<<

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA NGIRI

Image
Ngiri au Hernia ni aina ugonjwa ambao tampata mtu baada ya misuli au kuta za tishu mwilini zinazoshilikiana au kubeba viungo fulani mwilini kupoteza uimara wake kuwa na uwazi na hivyo kusababisha viungo hivyo kutokushikiwa ipasavyo katika sehemu vinapostahili kuwepo. Katika mwili wa binadamu, maeneo ambayo tatizo hili hutokea mara kwa mara ni maeneo ya tumboni,katia eneo la kinena,eneo la paja kwa juu na pia ngiri inaweza kutokea katika eneo ambalo mtu alifanyiwa upasuaji,Ugonjwa huu wa ngiri unawapata watu wa rika zote.Mshipa wa ngiri ni jina lililokusanya magonjwa kama ngiri kavu (Hernia), Ngiri maji ( Hydrocele ), na Ngiri nyingine kama vile kvimba kokwa au mfereji unaopitisha maniiunaojulikana kitaalamu kama (Epididmorehitis) Dalili za ugonjwa huu wa ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu. DALILI ZA NGIRI 1. Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu. 2. Kupiga mingurumo tumboni. 3. Kujaa gesi tumboni. 4. Kuhisi haja kubwa n

MAJINA YA WALIMU WALIO AJIRIWA NOVEMBA 2020

Image
  BOFYA HAPA au hapa

KALI LINUX DOWNLOAD

Image
  DOWNLOAD

UBUNTU DOWNLOAD

Image
  DOWNLOAD

WINDOW 7 DOWNLOAD

Image
  CLICK HERE

UNATAKA KU FLASH SIMU YAKO!!! : CHEKI HII PROGRAMU HAPA

Image
FT Dongle V1.4.0 Crack||Without Dongle[ MTK,Spd,Qualcomm,Samsung,HTC,Huawei,MI etc 51,551 views 491 48 Share Save Report AL-Ameen Computer SUBSCRIBE Published on Oct 1, 2018 Download Link EFT Setup:- https://drive.google.com/open?id=1L9e... Download Loader:- https://drive.google.com/open?id=1UZ-... Password:- alameencomputer SAMSUNG: - Extract TAR ROMs - Extract .img files - Dump ROM using ADB - Fix Wi-Fi errors - Add Mobile Data toggle - Remove Secure Storage - Add Arabic & Farsi languages to samsung keyboard - Fix contacts errors for general and Docomo series - Remove T-Mobile bootlogo - Enable hidden languages - Fix TouchWizHome errors - Enable LTE connection - Fix read SIM errors - Repair S-Health on tripped knox - Set SIM count to dual | single - Repair USSD codes - Dump bootlogo and flash it - Dump keyboard languages and write them - Active some useful CSC features - Disable notifications (security updates, SIM card not from and security reports) - Flash factory firmware

DONDOO MUHIMU KUHUSU MTINDO BORA WA MAISHA ILI KUZUIA NA KUKABILIANA NA SARATANI.

Image
  Posted by  Topten Herbs    August 01, 2020 DONDOO MUHIMU KUHUSU MTINDO BORA WA MAISHA ILI KUZUIA NA KUKABILIANA NA SARATANI. Saratani na matibabu yake huweza kumfanya mtu kuwa dhaifu. Ni muhimu sana kwa mgonjwa wa saratani kuzingatia ulaji bora na kufuata mtindo bora wa maisha kwa sababu unasaidia sana kupunguza madhara ya ugonjwa kabla, wakati na baada ya tiba. Hata kwa wale waliugua na kupona saratani wanahitaji kudumisha mtindo bora wa maisha ili kupunguza uwezakano wa saratani kurudi tena. Hivyo ni muhimu kila mmoja kuzingatia ushauri ufuatao: Tumia vyakula vitokanavyo na mimea Zaidi: Kula mboga-mboga na matunda kwa wingi kila siku. Kula mboga-mboga za kijani, njano, nyekundu, zamabarau na rangi nyingine zilizopikwa angalau ujazo wa kikombe kimoja katika kila mlo. Tumia pia mboga zisizopikwa, kama vile saladi, nyanya, matango n.k; hakikisha mboga-mboga zinazoliwa mbichi zinaoshwa vizuri kwa maji safi na salama. Kula matunda ya aina mbalimbali angalau tunda moja katika kila mlo. K

Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa

Image
  Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa on  November 24, 2019   Kumekuwa na tabia au hali ya wanawake wengi kupiga kelele au unaweza kusema kutoa sauti wakati wakishiriki tendo la ndoa. Hali hii imeacha maswali kama kutoa huko sauti ni jambo la asili au ni mwanamke mwenyewe anaamua hapa atoe sauti na kwingine asitoe. Mwaka 2011 watafiti wawili mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Lancashire na mwingine kutoka Chuo Kikuu cha Leeds wote wa nchini Uingereza walichapisha utafiti wao walioufanya uliokuwa ukihusu utoaji wa sauti wa kati wa kujamiina. Walitaka hasa kujua kwanini wanawake hutoa sauti hizo. Katika utafiti huo, waliwahoji wanawake 71 wenye umri kati ya miaka 18 na 48 ambao hushiriki mapenzi mara kwa mara juu ya utoaji wa sauti wakati wa kujamiiana. Katika utafiti huo ulibaini kuwa wanawake wengi huto sauti hizo lakini sio pale tu wanapokuwa wamefika kileleni. Asilimia 66 walisema kuwa hutoa sauti wakati wa kujamiina ili  kuwasaidia wenza wao ku

adsense

 blogger baujiti: blogger baujiti: LEEARN IT Course  MenuHomeITform oneform twoform threeform fourform fiveform six Home Tricks GOOGLE ADSENSE GOOGLE ADSENSE  baujiti  May 27, 2020  Tricks, RESPONSIVE ADS HERE GOOGLE ADSENSE ni program maalum ilioundwa na google kwajili ya kuwawezesha wenye blogs, webistes, apps kujipatia kipato: so kama nlivosema kwa wenye blogs, websites na apps, so pale utapokua unataka kujiunga unatakiwa uwe na moja wapo ya hivo, NAWEZAJE JIUNGA NA ADSENSE? -> Ili ujiunge na adsense unahitaji kua na blog au website au app, kwa leo tutaongelea upande wa blogs na websites, ukishakua na hio blog au website utatakiwa kutuma maomba kwenye page ya adsense ya kuomba kupata hii huduma na utajibiwa ndan ya mda flan, mara nyingi ni sku mbili au moja wengine mpaka wiki; utakapojibiwa tayar utapewa codes za kuweka kwenye blog au website yako, kuanzia apo utaanza kupata mapato yako MAPATO YA ADSENSE YAKOJE? -> Kwa kawaida hii ni biashara kama biashara zingine duniani , m

BRIYAN TRACY ALL BOOKS

Image
  Type your search query and hit enter: All Rights Reserved SBIC CONNECT Type your search query and hit enter: HOMEPAGE EBOOKS EBOOKS HOME PAGE Download Brian Tracy  Book Collection – PDF [Direct Download]   Brian Tracy  (born January 5, 1944) is a Canadian-American motivational public speaker and self-development author. He is the author of over seventy books that have been translated into dozens of languages.  His popular books are  Earn What You’re Really Worth ,  Eat That Frog! ,  and  The Psychology of Achievement . Brian Tracy is the Chairman and Chief executive officer (CEO) of Brian Tracy International, a company he founded in 1984 in Vancouver, Canada.  Brian Tracy International sells counseling on leadership, selling, self-esteem, goals, strategy, creativity, and success psychology.  The company is headquartered in Bankers Hill, San Diego, California. Prior to founding his company, Tracy had served as the Chief Operating Officer of a development company. He serves as the Pres